Header Ads

BannerFans.com

Zidane ni mmoja kati ya makocha nguli Dunia, awapongeza wachezaji wake kwa ushindi mnono

Champions League Final - Real Madrid v Liverpool - Real Madrid gewinnt Finale (Reuters/K. Pfaffenbach)
Pamoja  na  Jose Mourinho  na  Pep Guardiola, Zidane amekuwa sawa  na  meneja  wa  Liverpool Bob Paisley  na  carlo Ancelotti , mtu  ambaye  alikuwa  akifanya  nae  kazi  kama  msaidizi.
Zinedine Zidane kocha wa Real Madrid
"Ningependa  kuwapongeza  wachezaji  kwa  kuwa  si  rahisi  kile walichofanya," Zidane  alisema  baada  ya  mchezo  katika  mji  mkuu wa  Ukraine, Kiev.

"Hii  ndio kazi. Hakuna  maneno kuweza kuieleza. Hicho  ndio kikosi hiki kilivyo. Hawana  ukomo wa  kile wanachoweza  kufanya." Zidane alisema.

Zidane  hakutaka  kuchukua  sifa  nyingi  baada  ya  kushuhudia kikosi  chake  kikipata  ubingwa  wake  wa  nne   katika  misimu mitano, na  taji  la  13  katika  historia  ya  klabu  hiyo  katika  kombe la  Ulaya.

No comments

Powered by Blogger.