Header Ads

BannerFans.com

Uro 370milion zitamoundoa Neymer jr PSG

Kwa mujibu wa gazeti la Hispania 'El País, uwezekano wa Neymar kwenda Real Madrid inaweza kufikia € 370 milioni.

Mwaka baada ya mwaka, jina la Neymar linasisimua soko la uhamisho wa majira ya joto. Mwaka jana, habari za kuvunja rekodi zake zimeongezeka € 222milioni kutoka kwa Barcelona hadi  PSG ambayo iliongezamuonekano wake na kumfanya awe nyota.
.
Wakati PSG imejaribu kuwahakikishia mashabiki kuwa Neymar ataendelea kuwa katika jezi ya bluu na nyekundu msimu ujao, klabu hiyo  inajua kwamba hata kama uhamisho hauwezi kufanywa mwaka 2018, Real Madrid itakuja kugonga  hodi tena majira ya joto.
Gazeti la kifahari la Hispania 'El País' limeripoti mpango wa € 370 milioni ambao utaweza kumng'oa Mbrazili huyo kuondoka mji mkuu wa Ufaransa.

No comments

Powered by Blogger.