Header Ads

BannerFans.com

Harmonize athibitisha collabo na Mrisho Mpoto


 
Msanii wa bongo fleva Harmonize ambaye  yupo kwenye  kundi  la wasafi likiongozwa   na diamond platinum  leo amethibitisha rasmi kufanya collabo na  Mrisho Mpoto. Harmonize ameyasema hayo  kupitia ukurasa wake wa Instagram.

harmonize_tzBinafsi nikiionaga sura yako naona inaashiria Amani, Upendo, Furaha, Hekima, na Busara....!!! Naamini tupo wengi sana...!!! wenye mtazamo kama wangu wewe ni kama Nembo ya Tanzania kwani hata viongozi hujivunia uwepo wako katika Sanaa nichukue fursa hii kusema Asante sana....!!! Kwa kuniamini na kunipa nafasi ya kushiriki katika kazi yako #Mjomba @mrishompoto M/mungu akubariki sana....!!! hii nikama ndoto kwangu 🙏🙏 kama wewe ni mzalendo na unamkubali #Mjomba comment #Yess

No comments

Powered by Blogger.