Header Ads

BannerFans.com

Kocha Mkuu wa Senegal ataja kikosi chake cha awali kitachoshiriki kombe la dunia





Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Senegal, Alilou Cisse ametangaza majina ya wachezaji 30 ya awali ambayo yatatoa wachezaji 23 kwa ajili ya timu ya taifa itakayoshiriki michuano ya kombe la dunia mwaka huu.

Wachezaji wote wanatoka katika ligi kubwa za kulipwa barani Ulaya, wakiongozwa na Sadio Mane (Liverpool), Mbaye Niang (Torino), Diafra Sakho (Rennes), na Moussa Sow (Bursaspor), na Chiekhou Kouyate (West Ham United) wote wameitwa.

No comments

Powered by Blogger.