Wilshere alaani vikali kutoitwa kikosi cha wingereza
Machezaji Jack Wilshere ameandika katika ukurasa wake wa Twita
akieleza kusikitishwa baada ya kutoitwa kwenye timu ya Uingereza
itakayoshiriki kombe la dunia mwaka huu, akisisitiza kuwa angeweza kutoa
mchango mkubwa sana.
Wilshere mwenye miaka 26, ameshiriki mechi 34 za timu ya taifa kwa nyakati tofauti
Wilshere mwenye miaka 26, ameshiriki mechi 34 za timu ya taifa kwa nyakati tofauti

Post a Comment