Header Ads

BannerFans.com

Simba ya ahaidi kuwapa raha mashabiki wake leo dhidi ya Gor mahia


TETESI ZA USAJILI SIMBA SC LEO JUMAPILI JUNE 10,2018
 mabingwa wasoka wa tanzania bara msimuhu wekundu wa msimbazi simba leo masaa machache wanajitupa uwanjani  katika fainali dhidi ya Gor mahia katika michuano ya sport pesa inayo fanyika nchini kenya katika uwanja wa nakuruh. Simba ilianza michuano hiyo vyema kwa kuitoa K. Sharks ya nchini humo kwa mikwaju ya penalti na kisha kuitoa Kakamega home boyz kwa mikwaju ya penati na  kutinga fainali.

simba leo  inakibarua kigumu cha kuweza kuchukua kombe hilo  la  sport pesa iliaweze kwenda uingereza kukipiga na timu ya Evarton  inayoshiriki ligi kuu nchini humo. hivyo macho na masikio ya watanzania wote yatakua nchini kenya kuingalia simba  inavyo peperusha bendera ya taifa la Tanzania na kuwapa raha mashabiki wa soka chini humo.
  Hataivyo wachezaji wa simba wameaidi kuwapa raha mashabiki wao pamoja na wanzania wote.


No comments

Powered by Blogger.