Header Ads

BannerFans.com

Dimond akiri kubaniwa na Media nyingine

Image result for picha za diamond platnumz
Msanii wa kizazi kimpya (Bongo fleva) Nasibu abdul (dimond) leo ameweka wazi chanzo cha kuanzisha channeli yake ya Wasafi tv ni kutokana na kubaniwa na vyombo  vya habari vingine.

Ameyasema hayo wakati wakuitambulisha rasmi channeli yake ya wasafi Tv katika king'amuzi cha Star times namba 444katika ukumbi wa Sleep way  akionge na wahandishi wa habari kuhusiana dhamira ya kuanzisha chombo hicho na kusisitiza Wasafi tv ni ya watanzania wote
  Baada ya kuulizwa swali "sababu zipi zilizo pelekea kuanzisha Wasafi tv?"

  Daimond alijibu moja ya sababu "nikuwapa na fasi wasanii wote ili kazizao zipatekuonekana na kuchezwa katika  channeli hiyo ya Wasafi"

 "kumekuwepo na  baadhi ya vyombo vya habari kutocheza sanaa za badhi ya wasanii ikiwemo pamoja na  mimi ivyo kupelekea hasira za mimi kufungua channeli hiyo  nakukatiza ndoto za vijana wengi katika   kazi zao zasanaa."
 "pia ameweka wazi kuhusu kuanzishwa kwa tamasha jipya  likijulikana  kama Wasafi festival ambalo litajumuishawasanii kutoka nje ya kundi la WCB na ndani la kundi hilo na kusema lengo la tamasha hilo ni  kutoa burudani ndani ya Dar es Saalam na nje ya mkoa huo na kuwainua Wasanii kiuchumi"

No comments

Powered by Blogger.